-------------------------------------------------------------------------------------------------
Makocha wenye uwezo mkubwa kisoka kuanzia ngazi ya vijana hadi ya Taifa wakifatilia kwa makini zoezi la kuchagua vijana wenye vipaji vikubwa kisoka ambao watapata nafasi ya kwenda kucheza soka nchini Israel kwa kujiunga na academy mbalimbali za huko mpango ambao utakuwa ukiendelea kila mara,ambapo vijana wengi watakulia kisoka nje na kuja kulitumikia Taifa siku za baadae.mpango huu opo chini ya Asam Public Relations Company ya Zanzibar ikishirikiana kwa pamoja na Oranje Football Academy.
Zoezi hilo linaendelea tena leo,na wiki ijayo tarehe 17-18.
-------------------------------------------------------------------------------------------------