Tanzania imeporomoka tena katika soka duniani baada ya matokeo mabaya ya mechi za kirafiki hivi karibuni, Tanzania emeshuka nafasi 7 kutoka juu na sasa inakuwa katika nafasi ya 106 badala ya 96 iliyokuwepo hadi kufikia jana,katika msimamo huo wa ubora wa soka duniani juu yake nafasi ya 105 ipo kwa upande wa Kenya na 107 iko na Thailand.
.........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago