Kilimanjaro stars leo katika mechi ya robo fainali imeikandika Eritrea jumla ya mabao 4-0 katika michuano ya kombe la Chalenge.
mshambuliaji Mrisho Ngasa alipachika mabao 3 kati ya manne yaliyofungwa.
katika mechi nyingine ya robo fainali Rwanda imeifunga Zimbabwe 4-1.
Kilimanjaro Stars itajitupa kiwanjani siku ya Alhamisi kupambana na Rwanda katika mechi ya nusu fainali.
ORANJE FOOTBALL ACADEMY inatoa pongezi kwa Kilimanjaro Stars pia inawatakia kila la kheri katika mechi ya nusu fainali siku ya Alhamisi mjini Nairobi
.............................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago