Vijana Chipukizi wa Oranje Football Academy wakisubiri kukaguliwa katika moja ya mechi za ligi ya U-14 zilizoanza hivi karibiri,Vijana wenye vipaji vya hali ya juu ambao wamesajiliwa kwa umakini zaidi msimu huu na uongozi Oranje Football Academy, chipukizi hawa ndio nguzo kubwa ya timu kubwa ya O.F.A ambapo baadae nyota hawa watakuwa wakipandishwa katika kikosi cha kwa kwanza cha wakubwa zao.
.........................................................................................................................................................................
........................................................................................................................................................................