Vijana wa Oranje Football Academy wanaendelea na mazoezi kama kawaida,kutokana na matatizo ya umeme yaliyoikumba Zanzibar hivi sasa imekuwa ni vigumu kidogo kuweza kuwapatia matokeo na habari mbalimbali za vijana hawa chipukizi ambao mwaka huu wamekuwa na nguvu mpya katika usajili wake,tonaomba samahani kwa usumbufu kidogo uliojitokeza wa kutoweka matokeo mbalimbali ya mechi za ligi ambayo tayari imeanza kwa vijana hao kito cha kukuza soka kwa vijana nchini kutokana na tatizo hilo la umeme.
Tutaweza kuwaletea habari kamili mara ya hali ya kawaida ya umeme kurudi kama kawaida.
..........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago