.........................................................................................................................................................................
........................................................................................................................................................................
Watoto wa Oranje Football Academy wiki iliyopita iliitandika timu ya vijana ya African Kids kwa jumla ya mabao 4-1 katika mechi safi ya ligi ya vijana U/14 iliyofanyika katika kiwanja cha malindi-Mnazi Mmoja
Watoto wa Oranje Football Academy wiki iliyopita iliitandika timu ya vijana ya African Kids kwa jumla ya mabao 4-1 katika mechi safi ya ligi ya vijana U/14 iliyofanyika katika kiwanja cha malindi-Mnazi Mmoja
mabao ya vijana hao wadogo U/14 (pichani juu waliosimama )yalipachikwa kimiani na Moh'd Omar 2, na Kassim Ibrahim 2.
.............
wakati wadogo zao walishinda mabao 4-1 wakubwa zao (pichani juu waliokaa) walishinda mechi ya kirafiki kwa jumla ya mabao 3-0 dhidi ya Desi F.C katika mechi ya kijiweka "fiti" kujitayarisha na mechi ya mwisho ya makundi ambapo mabao ya nyota hao yalifungwa na Yussuf Abadalla 2,na Ismail Ali ilipachika bao 1.
.........................................................................................................................................................................