mechi ya Kombe la Knock-out kati ya Oranje Football Academy na Mkunazini F.C itafanyika siku ya Jumapili tarehe 02-05-2010 badala ya tarehe iliyotanganzwa hapo mwanzo ya kufanyika kwa pambano hilo leo tarehe 25-04-10.
Pambano hilo ni kuwa litafanyika wiki ijayo jumapili 02-05-10 na sio jumapili ya leo.
Leo vijana wa O.F.A watakuwa na mapumziko na kesho mazoezi yataendelea kama kawaida kwaajili ya kujiweka tarari kwa pambano hilo litakalokuwa na upinzani mkubwa ambapo vijana wa O.F.A wataitumia wiki hii kuweza kujiweka "fiti" tayari kwa pambano hilo la jumapili.
..............................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago