Watoto wa Oranje Football Academy U/14 leo watajitupa kiwanja cha Mao Tse Tung B katika mechi ya Knock-out kwa kupambana na timu ya Hull City mechi ambayo itakuwa na ushindani mkubwa, Vijana wa O.F.A wapo tayari kwa mchezo huo na watahakikisha wanashinda mechi hio ili kuweza kusonga mbele katika mashindano hayo ya msimu huu 2010.
..............................................................................................................................................................................