.........................................................................................................................................................................
Wachezaji wa Oranje Football Academy wakisikiliza kwa makini maagizo ya viongozi wao katika moja ya mikutano yao,katikati kushoto"jezi ya Blue mikono mirefu ni mshambuliaji hatari wa O.F.A ambae pia ni mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U/17 " Serengeti Boyz" Seif Abdalla "karihe" pamoja na nyota wengine wa O.F.A
.........................................................................................................................................................................
Viongozi wa Oranje Football Academy wakiwa katika moja ya kikao cha kukabidhi vifaa kwa wachezaji wao, pichani kulia ni wakala mpya wa Fifa nchini Ali Saleh.
........................................................................................................................................................................
Viongozi pamoja na baadhi ya wachezaji wa Oranje Football Academy wakiwa katika picha ya pamoja(wachezaji wapya U/17 pamoja na wale wa U/14 hawakuweza kuwepo pichani kutokana na sababu mbalimbali).
.......................................................................................................................................................................