............................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...............................................................................................................................................
............................................................................................................................................
..............................................................................................................................................
Nigeria imejiweka pabaya baada ya kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya greece katika dakika ya 16 kwa bao lililofungwa na uche lakini ilijikuta ikipoteza mechi hio baada ya kufungwa mabao 2-1 hadi mwisho wa pambano hilo.
Nigeria imejiweka pabaya baada ya kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya greece katika dakika ya 16 kwa bao lililofungwa na uche lakini ilijikuta ikipoteza mechi hio baada ya kufungwa mabao 2-1 hadi mwisho wa pambano hilo.
bao la kwanza la greece lilifungwa na salpigidis katika dakika ya 44 wakati bao la pili lilifungwa na torosidis katika dakika ya 71 mchezaji sani kaita wa nigeria alionyeshwa kadi nyekundu katika dakika ya 33.
..............................................................................................................................................