WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Monday 21 June 2010

PORTUGUAL 7-0 NORTH KOREA

............................................................................................................................................
.............................................................................................................................................
.............................................................................................................................................
..........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
..........................................................................................................................................
............................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
............................................................................................................................................
..........................................................................................................................................
Portugal imeichakaza korea kaskazini jumla ya mabao 7-0 katika mechi ya kundi G.
mabao ya portugal yalifungwa na raul mirales katika dakika (29),simao sabrosa(53),hugo almeida(56),tiago(60,89),liedson(81)cristiano ronaldo(87).
kutokana na matokeo hayo portugal imejiweka katika njia nzuri ya kusonga mbele kwenye 16 kwa kuwa na idadi kubwa ya mabao ya kufunga na kuwa na point nne ambazo zinaweza kufikiwa na ivory coast itakayocheza na korea katika mechi ya mwisho lakini kutokana na idadi hio kubwa ya mabao ni dhahiri kuwa ivory coast itakuwa na kibarua kikubwa cha kutumbukiza mabao ili kuweza kuifikia idadi hio ya portugal ambapo pia watacheza mechi yao ya mwisho na brasil inawezeka pia kupata bao au mabao ya ziada.
.........................................................................................................................................