WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Thursday 8 July 2010

SPAIN YATINGA FAINALI YASHINDA 1-0 DHIDI YA GERMANY

............................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
..........................................................................................................................................
..........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...............................................................................................................................
...........................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
.........................................................................................................................................
..........................................................................................................................
...........................................................................................................................................
.........................................................................................................................................
...................................................................................................................................
...........................................................................................................................................
............................................................................................................................................
............................................................................................................................................
Spain wametinga fainali ya kombe la soka la dunia kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hio baada ya kuifunga Germany bao 1-0 bao lililofungwa kwa kichwa na Puyol katika dakika ya 73 baada ya kupokea mpira wa kona iliyopigwa na Xavi Hernandez.
Spain ambao miaka miwili iliyopita pia iliifunga Germany bao 1-0 katika pambano la fainali la kombe la bara la ulaya na kuweza kutwaa ubingwa wa bara hilo iliweza kuendeleza ubabe dhidi ya Germany ambao tayari kabla ya pambano hilo walikuwa wametuma salamu kwa Holland kuwa lile pambano lao la fainali ya mwaka 1974 lililofanyika nchini ujerumani hii itakuwa ni marejeo yake ambapo pambano hilo ambalo Gard Müller aliifungia Germany bao la ushindi 2-1,
katika salamu hilo Germany walisema kuwa tayari katika kikosi chao yupo mfungaji nyota Müller ambae ni mtoto wa yule Gard Müller aliewafunga Holland mwaka huo kwahio katika salamu zao walisema kuwa Müller atakuwepo tena tayari kuendeleza makali aliyaachiwa na baba yake.hata hivyo Germany haikufanikiwa kuingia fainali ambapo sasa itacheza na Uruguay siku ya jumamosi kusaka nafasi ya mshindi wa tatu wakati Holland na Spain watapambana siku inayofata jumapili katika pambano la fainali.
..........................................................................................................................