Oranje Football Academy U/17 leo wameweza kuwachakaza Syria mabao 5-1 katika pambano lililofanyika katika kiwanja cha mao tse tung pambano ambalo limemalizika hivi punde.
mabao ya vijana hao wa Oranje Football Academy yalipachikwa na Khalifa Sleiman 2,Seif Abdalla 1,Ahmed Khamis 1,na Nassir Mohamed alipachika bao 1 na kukamilisha ushindi huo mnono katika pambano hilo la leo.
Wadogo zao wa U/14 watajitupa katika kiwanja hicho cha mao tse tung baadae jioni hii katika pambano la nusu fainali la kombe la mtoano.
.....................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago