Oranje Football Academy U/14 jioni hii wameweza kujinyakulia tiketi ya kucheza fainali za mwaka huu za kombe la mtoano kwa vijana wenye umri wa miaka 14.
katika pambano hilo kali la nusu fainali vijana hao wa Oranje Football Academy waliweza kuwachapa Survivor mabao 2-0.
mabao yote ya O.F.A katika pambano hilo yalitundikwa wavuni na Moh'd Omar hivyo kumfanya mshambuliaji huyo hatari wa watoto hao wa O.F.A kuendelea kuwa mfungaji bora wa U/14.
Hongera U/14 kwa kwa kuingia fainali za msimu huu wa 2010.
..............................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago