Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" imeilazimisha timu ya Taifa ya Algeria"Desert Foxes" kukomboa bao na kufanikiwa kutoka sare ya bao 1-1 katika pambano lililofanyika nchini Algeria.
Stars ilikuwa ya kwanza kuandika bao katika dakika ya 33 bao lilofungwa na Jerry Tegete kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja wavuni.
Algeria walikomboa bao hilo kwa bao lilofungwa na Adlane Guedioura.
kutokana na matokeo hayo kocha wa algeria Rabah Saadane amejiuzulu kuifundisha timu hio ya taifa ya Algeria baada ya kufadhaishwa na matokeo hayo.
...........................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago