Oranje Football Academy kesho jioni watajitupa katika kiwanja cha mao Tse tung kupambana na timu ya Viko Pharm ambao wapo katika daraja la pili taifa,katika pambano hilo ambalo linalotarajiwa kuwa la kusisimua na upinzani mkubwa kutokana na uwezo wa pande zote mbili kuwa na vijana wenye vipaji vya hali juu,mara ya mwisho walipokutana mwaka jana viko pharm iliifunga Oranje Football Academy bao 1-0.
.....................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago