Ligi ya soka kwa vijana wa rika zote zitaanza kutimua vumbi leo katika viwanja mbalimbali,kwa Upande wa Oranje Football Academy chipukizi wake wa U16 watakuwepo katika kiwanja cha Shangani jioni ya leo kupambana na Mbweni Academy.
Wakati O.F.A U16 wataanza ligi hio leo Wakubwa zao wamechupa Daraja moja zaidi juu kutoka U17 na kuingia katika ligi ya ngazi ya Taifa ambapo waanza kampeni zao mpya za daraja hilo siku ya jumatatu kwa kupambana na Sebleni katika uwanja wa Ngome fuoni.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago