Oranje Football academy U16 wameanza vizuri ligi ya msimu huu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya Mbweni academy katika pambazo zuri na la kuvutia lililokuwa na ushindani na utaalam wa hali juu ambalo lilifanyika katika kiwanja cha shangani.
Bao la O.F.A lilifungwa na Rashid Almasi ,huku U16 ikianza vizuri ligi hio leo jioni wakubwa zao watajitupa katika kiwanja cha ngome fujoni kupambana na
sebleni katika pambano linalotarajiwa kuwa gumu kwa pande zote mbili.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago