Matokeo ya mechi za ligi wiki iliyopita Oranje Football Academy U16 waliweza kuifunga timu ya Kwahani mabao 2-0 huku kaka zao U20 wakiichapa timu ya Champion jumla ya mabao 5-1.
Kesho vijana wa U16 watakuwa katika kiwanja cha Mafunzo Ziwani kupambana na Azam Znz wakati Wakubwa zao watajitupa kiwanjani siku ya jumapili kupambana na Idumu pambano ambalo litachezwa katika kiwanja cha Hanyegwa Mchana.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago