WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Sunday 8 May 2011

AC MILAN MABINGWA WA ITALIA



Ac Milan imetwaa ubingwa wa soka wa Italy baada ya kutoka suluhu na timu ya A.S Roma katika pambano ambalo Milan walihitajia sare ya aina yoyote kutwaa ubingwa huo.
Kwa mara ya mwisho A.C Milan ilitwaa ubingwa huo mwaka 2004 ambapo inafanya idadi ya ubingwa wa Italia iliyotwaa Milan kuwa jumla ya mara 18.