Ac Milan imetwaa ubingwa wa soka wa Italy baada ya kutoka suluhu na timu ya A.S Roma katika pambano ambalo Milan walihitajia sare ya aina yoyote kutwaa ubingwa huo.
Kwa mara ya mwisho A.C Milan ilitwaa ubingwa huo mwaka 2004 ambapo inafanya idadi ya ubingwa wa Italia iliyotwaa Milan kuwa jumla ya mara 18.
Kwa mara ya mwisho A.C Milan ilitwaa ubingwa huo mwaka 2004 ambapo inafanya idadi ya ubingwa wa Italia iliyotwaa Milan kuwa jumla ya mara 18.