Mabingwa wa Holland F.C Twente leo katika kombe la F.A la Holland " Beker Cup" wameifunga Ajax Amsterdam mabao 2-3 na kutwaa ubingwa huo katika pambano kali na la kuvutia la fainal ambapo hadi dakika 90 za kawaida mabao yalikuwa ni 2-2.
alikuwa ni Marc Janko aliepatia F.C Twente bao la ushindi huo muhimu kwa Tukkers ambao pia katika ligi ya Holland wanaongoza ikifatiwa na Ajax Amsterdam kwa idadi ya magoli huku wakifungana kwa point sawa.
jumamosi wiki ijayo watapambana Ajax Amterdam vs F.C Twente tena huku timu itakayoshinda pambano hilo itatwaa ubingwa wa Holland pambano ambalo litafanyika katika uwanja wa Amsterdam Arena.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago