Bafana Bafana imeifunga Taifa Stars bao 1-0 katika pambano la kirafiki la kimataifa lililofanyika leo katika Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
bao la Bafana Bafana lilifungwa na beki Siyabonga Sangwane kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza katika dakika ya 44'.
Bafana Bafana walicheza zaidi kipindi cha kwanza huku Stars ikitawala kipindi cha pili lakini walishindwa umaliziaji kukomboa bao hilo.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago