Bao la kwanza la mabingwa hao wa Spain lilifungwa na Iniesta katika dakika ya 29' huku Pique akiongeza bao la pili katika dakika ya 48'.
kutokana na ushindi huo Barçelona itaingia kiwanjani wiki ijayo ikiwa na matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa kwani inahitajia kutoka sare na kama Real Madrid itatoka sare au kufungwa basi hata Barçelona wakifungwa mechi hio itakuwa tayari imetwaa ubingwa.