Viongozi wawili wa ngazi za juu wa fifa Mohamed bin Hammam mwenyekiti wa chama cha soka cha Asia na Jack Waner mwenyekiti wa chama cha soka cha Concacaf cha north,south na Caribbean wamesimamishwa kazi kutokana na shutuma za rushwa.
katika kikao cha Fifa kilichokutana jana mjini zurich makao makuu ya Fifa viongozi hao walisimamishwa mara moja baada ya kupatikana na shutuma hizo zilizokuwa zikichunguzwa.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago