Timu ya Celtics Glasgow ya Scotland imetwaa ubingwa wa Scotish Cup baada ya kuifunga Motherwell katika pambano la fainali jumla ya mabao 3-0.
Katika Fainali ya Kombe la Ujerumani Schalke 04 imeisalowesha MDV Duisburg jumla ya mabao 5-0 na kutwaa ubingwa huo hivyo kujidhihirishia kupata nafasi ya kucheza kombe la europer league msimu ujao.
katika pambano hilo timu ya Schalke ilitundika mabao yake kupitia kwa Draxler 18',Huntelar 22',70,Höwedes 42'na Jurado 55'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago