F.c Barçelona imetwaa ubingwa wa soka wa Spain baada ya kutoka sare na timu ya Levante U.D kwa kufungana bao 1-1.
hii itakuwa ni mara ya tatu mfululizo kwa timu hio ya Barçelona kutwaa ubingwa huo wa La Liga,
bao la Barçelona lililoipatia ubingwa lilifungwa na mchezajiwa kimataifa wa Mali Keita katika dakika ya 28', wakati bao la Levante lilifungwa na Caicedo katik dakika ya 41'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago