Rangers imetwaa ubingwa wa Scotland kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuichapa timu ya Kilmarnock jumla ya mabao 5-1 katika mechi ya mwisho ya ligi ya Scotland,
kabla ya kuchezwa pambano hilo Rangers ilikuwa mbele kwa point moja zaidi ya wapinzani wao wakubwa Celtic ambao pamoja na leo kushinda mabao 4-0 hayakuweza kusaidi kuweza kutwaa ubingwa nchi hio.
mabao ya Rangers yalifungwa na Lafferty 1', 7', 53',Naismith 5',Jelavic 49'.
bao la Kilmarnock lilifungwa na Dayton katika dakika ya 65'.
kabla ya kuchezwa pambano hilo Rangers ilikuwa mbele kwa point moja zaidi ya wapinzani wao wakubwa Celtic ambao pamoja na leo kushinda mabao 4-0 hayakuweza kusaidi kuweza kutwaa ubingwa nchi hio.
mabao ya Rangers yalifungwa na Lafferty 1', 7', 53',Naismith 5',Jelavic 49'.
bao la Kilmarnock lilifungwa na Dayton katika dakika ya 65'.