Inter Milan na A.S Roma jana zilitoka sare kwa kufungana bao 1-1 katika nusu fainali ya coppa Italia.
Inter ilikuwa ilijipatia bao lake kupitia kwa Samuel Eto'o katika kadika ya 58', wakati bao la Roma lilifungwa na Borrielo katika dakika ya 84'.
katika pambano la awali Inter ilishinda bao 1-0 kutokana na sare hio inter imeingia fainali ya michuano hio kwa jumla ya mabao 2-1.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago