Liverpool imemtunukia heshima ya mkataba wa miaka 3 kocha wao Kenny Dalglish ambae aliichukua timu hio mwezi wa januari kuziba nafasi ya kocha walietimuliwa Roy Hodgson,
kutokana na kazi nzuri aliyoifanya tokea kuichukua timu hio pamoja na heshima kubwa aliyojijengea katika timu yake hio Liverpool ememtunukia Dalglish mkataba wa miaka mitatu wa kuendelea kuinoa na kuijenga klabu hio yenye historia kubwa katika soka nchini Uingereza pamoja na bara la ulaya.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago