WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Saturday 14 May 2011

MANCHESTER UNITED MABINGWA PRIMIER LEAGUE

Manchester United imetwaa ubingwa wa Barclays Premier League kwa mara ya 19 katika historia baada ya kutoka sare bao 1-1 na BlackBurn Rovers.

Blackburn ilikuwa ya kwanza kufunga bao katika dakika ya 20', bao lililofungwa na Emerton,

Rooney iliisawazishia United kwa njia ya penalti katika dakika ya 73' bao ambalo lilitosha kuipatia Manchester United Ubingwa huo.