Mfanyakazi mmoja mjini Warsaw Poland leo jumatatu aliporomoka kutoka juu ya paa la uwanja mkubwa unaoendelea kujengwa kwaajili ya michuano ya soka ya Bara la Ulaya ya mwaka 2012 na kufariki ghafla mara alipotua chini.
Kijana huyo wa kiume mwenye umri wa miaka 20 alipachuka kutoka katika paa hilo lenye urefu karibu futi 100 na kafariki wakati akiwa wa ujenzi uwanja wa Taifa wa Poland ambao pambano la ufunguzi wa michuano hio mikubwa ya barani ulaya itafanyika.
Polisi wanaendelea na uchunguzi wa ajali hio wakati mwaka uliopita watu wawili walifariki baada ya winji kukatika urefu wa futi 50 na kwenda moja kwa moja sakafuni.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago