Timu ya soka ya vijana chini ya miaka 23 ya Nigeria ambao wanatarajiwa kukwaana na timu ya Taifa ya U23 ya Tanzania kuanzia tarehe kati ya 3-5 mwezi june iko katika mazoezi makali wakati itakapocheza na timu ya Taifa ya costa rica leo pambano litakalochezwa mjini San jose-costa rica leo.
Nigeria ambao watakuwepo Dar es Salaam hivi karibuni katika pambano la awali la kuwania tiketi ya kwenda katika fainali za London Olympic zitakazofanyia nchini Uingereza mwakani wamekuwa katika mazoezi makali ya kujiandaa na pambano hilo la Dae es Salaam ambapo mechi hio ya leo itakuwa ni kipimo kizuri kwa wachezaji wao kabla ya kupambana na Tanzania wiki chache zijazo.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago