mabao ya mabingwa yalifungwa na Patou Kabango kwa shuti kali la mbali katika dakika ya 75' na Benza Bedi alifunga bao muhimu katika dakika za majeruhi na kuwafanya mabingwa hao wa Afrika ambao nyota wa Tanzania Mbwana Samatta anachezea kutinga hatua hatua ya makundi kwa jumla ya mabao 2-1 baada ya kufungwa bao 1-0 katika pambano lao la awali mjini Casablaca.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago