Timu ya buyuksehir Balad jana ilishindwa kuutumia uwanja wake wa nyumbani mjini Istanbul baada ya kutoka sare 0-0 na timu ya Manisaspor.
Wakati Buyuksehir Balad wakipoteza point 3 muhimu za pambano hilo miamba ya soka ya soka pia kutoka mji wa Istanbul Galatasary iliifunga timu ya Konyaspor 2-0.
mabao ya Galatasary yalipachikwa na Kazim katika dakika 11', na culio dakika ya 15'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago