Oranje Football Academy U16 jioni hii imetoka sare ya bila kufungana na timu ya Real Shangani katika pambano kali lililofanyika katika kiwanja cha Mafunzo ziwani.
kutokana na matokeo hayo U16 wameingia katika hatua ya pili ya 9 bora.
Katika matokeo mengine ya wiki hii U20 pia imeingia katika hatua ya kucheza 8 bora za kumtafuta bingwa wa ligi ya vijana walio chini ya umri wa miaka 20 huku U20 Oranje football academy wakiwa na mechi 2 mkononi kukamilisha ratiba hio ya hatua ya awali.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago