WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Saturday 4 June 2011

GHANA YAIFUNGA CONGO CAN 2012.

Timu ya Taifa ya Ghana "black stars" imeifunga timu ya Taifa ya Congo jumla ya mabao 3-1.
Katika kuwania tiketi ya michuano hio mikubwa kuliko yote barani afrika Ghana ilijipatia mabao yake kupitia kwa Isaac Vorsah,Prince Tague na Emmanuel Agyemang,bao la Congo lilifungwa na Matt Moussilou katika pambano ambalo Machael Essien alicheza kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu kuwa nje kutokana na majeraha.