Timu ya Taifa ya Ghana "black stars" imeifunga timu ya Taifa ya Congo jumla ya mabao 3-1.
Katika kuwania tiketi ya michuano hio mikubwa kuliko yote barani afrika Ghana ilijipatia mabao yake kupitia kwa Isaac Vorsah,Prince Tague na Emmanuel Agyemang,bao la Congo lilifungwa na Matt Moussilou katika pambano ambalo Machael Essien alicheza kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu kuwa nje kutokana na majeraha.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago