Timu ya Taifa ya Nigeria "super eagle"imeitwanga bila huruma timu ya Taifa ya Argentina kwa jumla ya mabao 4-1 katika pambano la kirafiki lililofanyika katika uwanja Abuja National Stadium nchini Nigeria.
Katika pambano hilo mabao ya nigeria yalifungwa na Uche x2 katika dakika za 9',na 39',Obina katika ya 27' bao alilolifunga kwa njia ya penalti na Emenike katika dakika ya 52'.
Bao pekee la Argentina lilifungwa kwa njia ya penalti na Bosseli katika dakika ya 90'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago