Kiungo wa Mzoefu wa timu ya Manchester United Paul Scholes Jana aliachia ngazi rasmi ya soka baada ya kuitumikia klabu hio kwa umri wake wote.
Scholes ameichezea klabu hio jumla ya mechi 676,kutwaa makombe 10 ya ubingwa wa uingereza,champions league na Fa cup pamoja na makombe mengine na zawadi mbalimbali.
Kiungo huyo anatarajiwa kucheza pambano maalum la kuwaaga wachezaji wenzake,viongozi na mashabiki wa Manchester United mwezi wa nane tarehe ambayo itatolewa hapo baadae.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago