Oranje Football academy U16 jana ilitolewa katika michuano ya kombe la Mtoano baada ya kufungwa bao 1-0 na shangani katika pambano kali na la kusisimua.
katika pambano hilo ambalo vijana wa U16 walipoteza nafasi za kushinda hivyo kuigharimu kuyaaga mashindano hayo ya msimu huu 2011.
U20 leo watakuwa katika uwanja wa Mao tse tung saa 08:00 mchana kupambana na timu ya Nyota ya Mwambao pambano la fainali ya siku ya Mazingira duniani.
Katika pambano hilo mgeni rasmi atakuwa ni Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif sharif Hamad.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago