Vijana wa Oranje Football Academy U20 wameingia fainali ya Kombe la Mazingira baada ya kuifunga timu ya Sporting mabao 2-1 katika mechi ya Nusu Fainali.
katika mechi hio ya leo mabao ya O.F.A yaliwekwa wavuni na Ahmed Sadala na Nassir Issa.
Wakati huohuo Nyota wanne wa O.F.A wanatarajiwa kuondoka tarehe 07-06-2011 na timu ya Mkoa wa mjini Magharibi kushiriki katika mashindano ya Copa Coca Cola yatakayofanyia Dar Es Salaam.
Nyota hao ni Kepten Mudathir Yahya,Muhene Majid,Yunus Benard,na mlinda mlango mkali Abdalla Suleiman.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago