mfungaji hatari wa O.F.A ambae hupachika mabao kila anapokutana na timu pinzani (pichani kulia)akisherekea moja ya bao lake alilofunga baada ya kumrambisha mchanga kipa wa upinzani na kufunga bao safi, wachezaji vijana kama hawa ambao wanauchu wa kufunga magoli tokea ktk umri mdogo ni hazina kubwa kwa taifa kama wataweza kuendelezwa vizuri ambapo wataweza kulisaidia taifa letu hapo baadae na kumaliza tatizo sugu la ufungaji
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago