waandaaji wa Bonanza cup pamoja na wasimamizi wa mashindano na viongozi mbali mbali wa michezo akiwemo katibu mkuu wa z.f.a Mzee zam Ali (wakwanza kulia)wakangalia fainali ya Bonanza cup kati ya Oranje Football Academy na Shangani f.c, katika mechi hio ya fainali O.F.A iliweza kutwaa Bonanza cup baada ya kuisambaratisha Shangani f.c kwa mabao 3-0 katika mchezo uliokuwa wakuvutia na upinzani mkubwa,Bonanza cup ilidhaminiwa na Zanzibar Explore pamoja na ZanAir.
Hivi sasa o.f.a wako katika hatua nzuri ya kutwaa ubingwa wa U17,kama wakifanikiwa kutwaa ubingwa wa U17 itakuwa ni ubingwa wa pili kwa mwaka huu,
------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago