Mr Jackie Mahood C.E.O mpya wa O.F.A akiwa katika office yake leo mjini Belfast-Nothern Ireland baada ya kukutana na O.F.A's Vice President mr Mudathir Ali,ambapo rasmi amekubali kuwa C.E.O mpya wa O.F.A, katika mikakati yake ni pamoja na kuialika O.F.A Nothern Ireland kushiriki katika Milk Cup YouthTournament ambayo hufanyika kila mwaka katika mji wa Belfast na kushirikisha timu za youth kutoka nchi mbali mbali za europer, na south America na kuhudhuriwa na walimu mbali mbali wa soka kutoka nchi za united kingdom,europer na south america kuangalia vipaji vya vijana ambao wanafaa kuwaita katika youth za vilabu vyao,
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago