Tanzania imeangua nafasi 5 katika kiwango cha soka duniani,kwa mujibu wa Fifa World Ranking
iliyotoka leo,ambapo ipo katika nafasi ya 109 kutoka katika nafasi ya 104 iliyokuwa, hii haiko katika hesabu ya mechi ya leo kati yake na All Whites, kama ikishinda mechi ya leo inaweza kupanda kiwango ambacho kitatangazwa na Fifa tarehe 01-july-09,
katika Fifa World Ranking iliyotangazwa leo Espanha inaendelea kuwa Bora Duniani,ikifatiwa na
(2) Holland, (3) Germany, (4)italy,
(5)Brasil, (6)England, (7)Argentina, (8)Croatia, (9)Russia, (10)France
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago