WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Wednesday 3 June 2009

TANZANIA YAANGUKA NAFASI 5 KATIKA SOKA DUNIANI(KABLA YA MECHI YA LEO)

Tanzania imeangua nafasi 5 katika kiwango cha soka duniani,kwa mujibu wa Fifa World Ranking
iliyotoka leo,ambapo ipo katika nafasi ya 109 kutoka katika nafasi ya 104 iliyokuwa, hii haiko katika hesabu ya mechi ya leo kati yake na All Whites, kama ikishinda mechi ya leo inaweza kupanda kiwango ambacho kitatangazwa na Fifa tarehe 01-july-09,

katika Fifa World Ranking iliyotangazwa leo Espanha inaendelea kuwa Bora Duniani,ikifatiwa na
(2) Holland, (3) Germany, (4)italy,

(5)Brasil, (6)England, (7)Argentina, (8)Croatia, (9)Russia, (10)France
-------------------------------------------------------------------------------------------------