WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Friday 10 July 2009

PICHA ZA MATUKIO YA FAINAL KNOCK-OUT YOUTH U-17

MASHABIKI WA ORANJE FOOTBALL ACADEMY WAKIVAMIA UWANJA WA MAO TSE TUNG KWA FURAHA KUSHEREHEKEA UBINGWA WA KNOCK-OUT YOUTH U-17 AMBAO TIMU YAO YA O.F.A ILIIBAMIZA F.C ARIZONA KWA MABAO 2-1 NA KUIBUKA BINGWA KATIKA MECHI SAFI ILIYOWABURUDUDISHA WAPENZI WA SOKA WALIOKUWEPO UWANJANI KUSHUHUDIA FAINAL HIO.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
MASHABIKI WA O.F.A WA MARIKA MBALI MBALI WALISHINDWA KUJIZUWIA KUVAMIA UWANJA MARA BAADA YA KUMALIZIKA MECHI YA YA FAINAL KNOCK-OUT WIKI ILIYOPITA
-------------------------------------------------------------------------------------------------
MASHABIKI WA (ACADEMY YA O.F.A AMBAO WANASIFIKA KWA KUTANDAZA SOKA )WAKIWAVAMIA KWA FURAHA WACHEZAJI WAO NA KUWAKUMBATIA KWA KUWAPONGEZA MARA BAADA YA REFA KUMALIZA MCHEZO HUO WA FAINAL ILIYOFANYIKA WIKI ILIYOPITA AMBAPO O.F.A ILIIBUKA MSHINDI WA BAO 2-1.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
WACHEZAJI WA O.F.A WAKIWA KATKA PICHA YA PAMOJA NA KOMBE LA MSHINDI WA TATU WA LIGI YA YOUTH U-17
-------------------------------------------------------------------------------------------------
CAPTAIN NASIR WA ORANJE FOOTBALL ACADEMY AKINYANYIA KOMBE LA UBINGWA WA KNOCK-OUT YOUTH U-17 KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA WIKI ILIYOPITA AMBAPO PIA ILIKUWA NI SIKU YA KUKABIDHI ZAWADI NA MAKOMBE KWA MADARAJA MBALI MBALI KWA TIMU ZA VIJANA,
ORANJE FOOTBALL ACADEMY NI MABINGWA WA KNOCK-OUT 2009.
-------------------------------------------------------------------------------------------------