Oranje Football Academy jana jioni walitoka sare ya bila kufungana na timu ngumu ya Viko Pharm katika pambano la kuvutia la kirafiki lililofanyika katika uwanja wa Mao Tse tung .
Katika pambano hilo lililokuwa kali O.F.A ilipoteza nafasi kadhaa za kufunga huku Viko Pharm wanaocheza ligi ya daraja pili taifa wakipata wakati mgumu kuwakabili vijana O.F.A ambapo pia walipoteza nafasi za kuweza kufunga hadi mwisho wa pambano hilo matokeo yalikuwa 0-0.
Leo ni mapumziko na kesho vijana wa O.F.A wataendelea na mazoezi kama kawaida.
.....................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago