WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Tuesday 8 November 2011

MZEE KHERI MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2011 O.F.A

Kocha Abdulghany Msoma akimkabidhi zawadi ya mchezaji bora wa mwaka wa oranje football academy mchezaji Mzee Kheri Muhammed,amekabidhiwa cheti na medali ya Dhahabu,kocha msoma ambae ni mlezi wa kituo hicho cha kukuza soka kwa vijana nchini alimkabidhi mwanasoka huyo nyota katika sherehe zilifanyika Nungwi kwenye kiwanja cha Sharp Boys siku ya Jumaamosi 5.11.011
............................................................................................................................................
MATUKIO MENGINE YA O.F.A YA KUSHEREHEKEA UBINGWA WA ZNZ U20





(Pichani )juu vijana wa Oranje F.A pamoja na Viongozi wakiwa katika matukio mbali mbali ambayo walifanya walipokua Nungwi.

........................................................................................................................................


Mabingwa wa soka wa U20 wa Zanzibar Orange Football Academy walitembelea sehemu mbalimbali za kihistoria matika mji wa Nungwi (pichani)wakipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa sehemu wanayofugwa kasa na kupata historia ya sehemu hio na jinsi wanavyofugwa kasa hao.