wachezaji wa Oranje Football Academy ambao waliokuwemo kwenye timu ya kituo cha olympafrika Tanzania kilichopo dole timu iliyokwenda Rwanda kushiriki mashindano ya DAIMLER CUP na kurejea na nafasi ya 3 kwa vijana wa U -16
Vijana 5 wa O.F.A walikuwemo katika kikosi hicho ambacho kilishiriki mashindano hayo nchini Rwanda.