WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Thursday 12 January 2012

PICHA ZA FAINAL U20 UWANJA WA GOMBANI

























Viongozi wasimamizi wa daraja la Central League Taifa wa Zanzibar kutoka Unguja na Pemba ambao ndio wasimamizi wakuu wa mashindano ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja siku ya kilele cha fainali hizo zilizofanyika katika uwanja wa Gombani Pemba









Fainali za Msimu uliopita 2011 ligi kuu ya Zanzibar U20 zilishirikisha jumla ya timu nne, mbili kutoka Unguja na Mbili kutoka Pemba ambapo mashindano hayo ya finali yalifanyika kwa mtindo wa ligi katika viwanja vya Polisi Madungu na Gombani Pemba.

Katika michuano hio Oranje Football Academy yenye kikosi kinachoundwa na vijana wenye vipaji vya hali ya juu chini ya miaka 20 walinyakua ubingwa huo baada ya kushinda mechi zote tatu dhidi ya wapinzani wake katika fainali hizo.

Katika pambano la kwanza O.F.A iliweza kuifunga Children Soccer Stars ya Pemba jumla ya mabao 2-1 kabla ya kuichapa Fairmount ya Unguja bao 1-0 na kuitwanga Okapi ya Pemba mabao 7-0 katika pambano la mwisho lililofanyika katika uwanja wa Gombani na Kutwaa Ubingwa wa msimu wa 2011.