WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Sunday 13 November 2016

UCHANGIAJI WA DAMU ZENJ CHARITABLE SOCIETY

( Katibu mkuu wa kituo cha kukuza soka kwa vijana Orange Football Academy Hussein Ahmada akishiriki katika zoezi la kuchangia damu lililoandaliwa na Zenj Charitable Society sikuya tarehe 11/11/2016 ).


Zenj Charitable Society kwa kushirikiana na Bank ya Damu Zanzibar iliandaa uchangiaji damu wa kujitolea sikuya Ijumaa tarehe 11/11/2016 katika Ofisi ya Zenj Charitable Society Kikwajuni Juu katika Jumba la mkabala na Masjid Sunnah kwa Sheikh Nassour Bachoo,

Uchangia huo wa damu ulikuwa ni kwa lengo la upatikani wa damu kwaajili ya maendeleo ya mtoaji pindipo atahitajia damu siku yoyote pamoja na maendeleo ya Binadamu/ndugu  yako pindipo inapotokea tatizo lolote la msaada wa damu,

Watu walijitokea kuchagia damu ambayo huhifadhiwa katika Bank ya Damu Zanzibar na kusaidiwa wale ambao huhitajia damu hio bila ya kujali ni jamaa au ndugu wadamu wa wachangiaji wa damu,

Mmoja kati ya wachangiaji wa damu siku hio alikuwa ni katibu mkuu wa kituo cha kukuza soka kwa vijana nchini Hussein Ahmada ambae amekuwa akijitokeza na michango na shughuli mbalimbali za maendeleo ya kijamii nchini.

Kwa niaba ya kituo chetu cha kukuza soka kwa vijana nchini tunawashukuru wale wote ambao walijitokeza katika zoezi hilo na kuwaomba wale ambao hawakupata nafasi ya kufika katika zoezi hilo kutokana na michakato na pirika pirika mbalimabli walizokuwa nazo siku kujitokeza kwa wingi mara njingine itakapotokea zoezi kama hilo kwani umuhimu wake sio tu kwa lengo la kuwachangia wanahitajia damu bali hata kwa mtoaji ambapo huwezi kujua ni lini na wapi inaweza kukutokea na ukahitajia msaada wa damu.